Na Robert Onesmo

Kishoa amezungumza hayo April .5 .2025 katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Mwanga iliyopo wilaya ya Mkalama Mkoani Singida,ambapo amesema kwa jeshi lililopo la ulinzi na usalama hakuna wa kuzuia uchaguzi kwani limejipanga kikamilifu.
“Kwa jeshi hili lililopo hapa la ulinzi na usalama kuna mtu atazuia uchaguzi huu?jeshi limejipanga na liko imara, nawashukuru sana viongozi wa jeshi la Polisi”
Vile vile MHE. Jesca Kishoa amesema kuwa anaamini katika uchaguzi mkuu ambao utafanyika mwaka Mkoa wa Singida kupitia wilaya ya Mkalama itampa kura za kutosha Rais Samia kwa kazi kubwa alioifanya.
Post a Comment