RAIS SAMIA AIPONGEZA SIMBA SC KUTINGA HATUA YA NUSU FAINALI




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Simba SC kwa kutinga Nusu Fainali katika kombe la shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup).


Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA