SIMBA SC WAIBURUZA TABORA UNITED BAO 3-0

 

Simba SC imeendelea kutawala Ligi Kuu Bara baada ya kuifunga Tabora United kwa magoli 3-0 kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. 

Ushindi huu umewawezesha kufikisha pointi 43, na hivyo kupita Yanga ambayo ina pointi 42, huku timu zote zikiwa na michezo 16.

 Leonel Ateba alifunga magoli mawili, na Shomari Kapombe alifunga moja, wakichangia kwa kiasi kikubwa kuiletea Simba ushindi huu muhimu.

Kwa upande mwingine, Tabora United, ambayo iliifunga Yanga 3-1, inabaki na alama 25, ikikalia nafasi ya tano katika msimamo wa ligi.

Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم

TUTUMIE UJUMBE HAPA